AM ZE GCR

Friday, June 21, 2013

HAINA UTATA; UZINDUZI WA ALBAMU YA RUNGU LA YESU MWEZI WA SABA

Rungu la Yesu,mwenye shati la purple
Baada ya tetesi nyingi mtandaoni kuhusiana na uzinduzi wa Rapper anaezitikisa ngome za shetani,Rungu la Yesu amethibitisha kuwa uzinduzi utakuwa ni tarehe 28/7/2013  katika kanisa la dar es salaam calvary temple,tabata shule,
        Katika mtandao wa facebook Rungu ameliongelea sana swala hili pamoja na kukusanya maoni kutoka kwa mashabiki wake juu ya uzinduzi huo.
Rungu la Yesu atazindua album ya video inayokwenda kwa jina la AMANI YA BWANA.kumbuka ni tarehe 28/7/2013..