AM ZE GCR

Monday, August 11, 2014

SECKOND CHAYNCE; MWANA GOSPEL HIPHOP ALIYEMDISS EMINEM KWA KUJIITA RAP GOD

Katika pitapita za mtandaoni siku moja nilikutana na video lyrics ifuatayo na ikanifanya nivutiwe kuangalia sio mbaya na wewe ukicheki kwanza

    
mwanzoni mwa mwaka huu moja kati ya rappers wakali duniani Eminem aliachia album yake ya sita inayokwenda kwa jina la  MMLP2,ambapo moja kati ya vibao alivovichia ni rap god "am starting to feel am rap god" unasema moja kati ya mistari kwenye nyimbo hiyo,sijajua kabisa alikua anamaanisha nini labda ni majigambo tu ya rap.
lakini jambo hilo halikuchukuliwa poa na rapper seckond chaynce moja kati ya waanzilishi wa kwanza wa kundi la HGA(His Glory Alone) akiwa na KB ambaye sasa yupo chini ya Reach Record inayomilikiwa na rapper Lecrae.
"i had a vision it was more than a dream,i saw the idols crushed under his feet"  anaanza seckond chaynce ambapo ametumia sauti,flow na mdundo unaofanana na ule wa Em kwenye rapgod.
hapa anatoa onyo kwa wale wanaojiita rap gods,sio kwa Em tu bali hata rappers wengine kama Jigga,Kanye na wengine wanapendelea kujiita majina yanayofanana na majina ya Mungu.
Chaynce amewapa maonyo makali katika mistari mingine inayofuata akiwaambia kitachowapata ni kama kilichompata yuda bila kuachia diss ya moja kwa moja aliyoirusha kwenye verse ya pili
Yo, If you're the rap god, call me chizzle the god killer
Though go-rilla, my God's illa than godzilla
Ipod filla psychotic coming hard as a charging rhinoceros
Never stop till my God give the relax chizzle
Hapa Chaynce anajifagilia kwamba kama wao ni miungu ya rap basi yeye ni god killer akimaanisha atawaua yani hawamuezi,pia anaendelea kwa kujitambulisha katika mistari inayofuata kuwa yeye amekuja kuwakilisha kweli.
katika kumalizia yote Chaynce anasema bila kujali anawaombea wote kuanzia Eminem,jay z,kanye na kila msanii mwenye nyendo kama hao jamaa kama nilivyomnukuu
 Reprobate looking boys
Eminem, Kanye West, Jay Z, y'all pray from them boys
And any other artist that is following the pattern of the devil
Tell em Christ made a way for them boys
Reconciliation with the father in heaven so they can be saved
Cos Christ is the way for them boys
Repent and turn away from your sins, Jesus Christ trust him
Man that's all I gotta say to them boys
kwa haraka unaweza sema jamaa kama anataka bifu na washikaji vilee..lakini kwa mtazamo wangu jamaa ka show love ya kutosha saana akionyesha jinsi gani gani anawakubali kile wanachofanya kama wasanii wa hiphop ndo maana amerap katika flow ile ile ya Em kitu ambacho si rahisi maana flow yenyewe imepinda kichizi ila tu alikuwa anataka kuwaweka sawa kimtamzamo kwa jinsi wanavyotakiwa kumchulia MUNGU

No comments:

Post a Comment